Kulingana na Sheria na Sera za Meta Platform (Facebook/Instagram)
Wananchi TV DPROMO inaheshimu haki ya watumiaji na wateja wote ya kudhibiti taarifa zao binafsi. Ukurasa huu unaeleza jinsi unavyoweza kuomba kufuta taarifa na ruhusa zote zilizohusishwa na akaunti yako ya Facebook.
Ili kufuta ruhusa za DPROMO moja kwa moja kutoka kwenye akaunti yako ya Facebook:
1464124682216344).Ikiwa unataka timu yetu ifute kabisa taarifa zako (Jina, Simu, Namba ya WhatsApp, na taarifa za Pages) kutoka kwenye database yetu:
Tuma ombi la kufuta data ukitaja namba yako ya simu au Page ID:
💬 WhatsApp: +255 725 111 611
📧 Barua Pepe: info@wananchi.tv.tz
Ombi lako litakaguliwa na data zote zitafutwa kabisa ndani ya saa 24, na utapokea uthibitisho kupitia WhatsApp/Barua pepe.
Mfumo wetu unaunganishwa na API ya Meta kupitia:
https://dpromo.wananchi.tv.tz/api-proxy/index.php?action=data-deletion